Saturday 6 February 2016

Marafiki wa shirika la kiraia la TACOMO wawaona wagonjwa Hospitali teule Mbeya Vijijini

Baadhi ya marafiki wa Shirika la kiraia la Tanzania Community Media Organization (TACOMO), wkiwa na baadhi ya viongozi wa shirika hilo katika Hospitali ya Ifisi Mbalizi Mbeya Vijijini, wakiingia kuwaona wagonjwa.

Mchango wa kuwaona wagonjwa ulitoka mifukoni mwa marafiki wa shirka hilo baada ya kuhamasishwa na shrika umuhimu wa kuwaona wenye mahitaji.

No comments:

Post a Comment