Saturday 6 February 2016

TACOMO inashiriki katika masuala ya usafi wa miji Tanzania Bara

Kuli ni Mkurugenzi mtendaji wa Maendeleo ya wilaya ya Mbeya, Upendo Sanga, akijumuika na wananchi wa mji mdogo wa Mbalizi kufanya usafi. Aliyeshika simu ni Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Community Media Organization (TACOMO), ndugu Gordon Kalulunga.

No comments:

Post a Comment