Friday 19 February 2016

Mbunge wa Chalinze akabidhi vitabu 3438 vya shule za msingi 105 na sekondari 17

Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete, leo amekabidhi vitabu 3438 vya shule za Msingi 105 na Sekondari 17 vyenye thamani ya Shilingi Milioni 68,760,000, kwa Afisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze, Mkoani Pwani. 

Makabidhiani hayo yamefanyika mapema leo asubuhi kwenye Shule ya Sekondari ya Mdaula.

No comments:

Post a Comment