Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete, leo amekabidhi
vitabu 3438 vya shule za Msingi 105 na Sekondari 17 vyenye thamani ya
Shilingi Milioni 68,760,000, kwa Afisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya
Chalinze, Mkoani Pwani.
Makabidhiani hayo yamefanyika mapema leo
asubuhi kwenye Shule ya Sekondari ya Mdaula.
No comments:
Post a Comment